newsare.net
Rais Ali Bongo, ambaye amekuwa nje ya Gabon tangu alipougua Oktoba akiwa Saudi Arabia, alipata kiharusi, makamu wa rais amesema ikiwa ni taarifa rasmi ya kwanza kuhusu ugonjwa unaomsumbua kiongozi huyo wa nchi.Rais Bongo anasumbuliwa na kiharusi
Rais Ali Bongo, ambaye amekuwa nje ya Gabon tangu alipougua Oktoba akiwa Saudi Arabia, alipata kiharusi, makamu wa rais amesema ikiwa ni taarifa rasmi ya kwanza kuhusu ugonjwa unaomsumbua kiongozi huyo wa nchi. Read more