newsare.net
Jeshi la polisi mkoani Mbeya limetupiwa lawama na familia ya mtoto yatima mwenye umri wa miaka 14 mkazi wa mtaa wa Itongo kata ya Mwakibete baada ya kumwachia kwa dhamana mtuhumiwa anayedaiwa kumfungia ndani na kumshambulia kwa kipigo Januai 31 mwaka huu.Kupewa dhamana mtuhumiwa, Polisi waingia matatani
Jeshi la polisi mkoani Mbeya limetupiwa lawama na familia ya mtoto yatima mwenye umri wa miaka 14 mkazi wa mtaa wa Itongo kata ya Mwakibete baada ya kumwachia kwa dhamana mtuhumiwa anayedaiwa kumfungia ndani na kumshambulia kwa kipigo Januai 31 mwaka huu. Read more