newsare.net
Kampuni ya Kenya ya Indo Power iliyojitokeza kununua korosho nchini na kushindwa kufanikisha mpango huo imesababisha mvutano mkali bungeni baada ya wabunge wa upinzani kushinikiza mawaziri walioileta nchini kuwajibishwa huku Serikali ikiwakingia kifua ikidaiKampuni ya korosho yatikisa Bunge
Kampuni ya Kenya ya Indo Power iliyojitokeza kununua korosho nchini na kushindwa kufanikisha mpango huo imesababisha mvutano mkali bungeni baada ya wabunge wa upinzani kushinikiza mawaziri walioileta nchini kuwajibishwa huku Serikali ikiwakingia kifua ikidai hawahusiki. Read more