newsare.net
Bila shaka ndugu msomaji umepata habari za mjukuu wa Malkia, Prince Harry kujaaliwa mtoto wa kiume, kwa jina Archie. Kitukuu huyu kachanganya mama Mmarekani – mwenye baba Mzungu, na mama wa kisiwa maarufu cha Jamaica. Hivyo sasa, utawala wa mamwinyi wa KiinKUTOKA LONDON: Malkia kapata kitukuu aliyechanganya uafrika
Bila shaka ndugu msomaji umepata habari za mjukuu wa Malkia, Prince Harry kujaaliwa mtoto wa kiume, kwa jina Archie. Kitukuu huyu kachanganya mama Mmarekani – mwenye baba Mzungu, na mama wa kisiwa maarufu cha Jamaica. Hivyo sasa, utawala wa mamwinyi wa Kiingereza unaye mtu mweusi ndani. Hilo, lilishazua kikirikakara. Read more