newsare.net
Karibu kila mzazi anatamani mwanaye awe kama Mbwana Samatta, Barack Obama, Diamond au Billgate — hapa tunaongelea kiwango cha mafanikio. Na waswahili wanakwambia, hakuna mtu anayependa ufanikiwe kweli kama mzazi wako. Wengine wanapenda ufanikiwe ndio, lakinTUONGEE KIUME: Tuwaache watoto wetu watimize ndoto zao
Karibu kila mzazi anatamani mwanaye awe kama Mbwana Samatta, Barack Obama, Diamond au Billgate — hapa tunaongelea kiwango cha mafanikio. Na waswahili wanakwambia, hakuna mtu anayependa ufanikiwe kweli kama mzazi wako. Wengine wanapenda ufanikiwe ndio, lakini sio ufanikiwe kuwazidi wao. Read more