newsare.net
Kutokana na mgogoro uliopo kati ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na kampuni ya IPTL, mahakama ya migogoro ya kimataifa (ICSID) imeiamuru Serikali ya Tanzania kulipa Dola 185.4 milioni (zaidi ya Sh426 bilioni) kwa kukiuka mkatabaMahakama yaamuru Tanzania kuilipa IPTL Sh426 bilioni
Kutokana na mgogoro uliopo kati ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na kampuni ya IPTL, mahakama ya migogoro ya kimataifa (ICSID) imeiamuru Serikali ya Tanzania kulipa Dola 185.4 milioni (zaidi ya Sh426 bilioni) kwa kukiuka mkataba Read more