newsare.net
Timu ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' leo asubuhi imefanya mazoezi katika mvua kujiandaa na mechi yake dhidi ya Zanzibar kesho Jumanne katika mashindano ya Chalenji yanayoendelea nchini Uganda.Kilimanjaro Stars yapiga tizi mvuani ikijiwinda kuivaa Zanzibar
Timu ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' leo asubuhi imefanya mazoezi katika mvua kujiandaa na mechi yake dhidi ya Zanzibar kesho Jumanne katika mashindano ya Chalenji yanayoendelea nchini Uganda. Read more