newsare.net
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe jana alitumia takriban saa nne kuwasilisha Takukuru ushahidi wake kuhusu madai ya rushwa ilivyozingira mradi wa Liganga na Mchuchuma, lakini anahofia kama taasisi hiyo itafanyia kazi vielelezo vyake.Zitto atumia dakika 240 Takukuru
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe jana alitumia takriban saa nne kuwasilisha Takukuru ushahidi wake kuhusu madai ya rushwa ilivyozingira mradi wa Liganga na Mchuchuma, lakini anahofia kama taasisi hiyo itafanyia kazi vielelezo vyake. Read more