newsare.net
Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi (ZFDA) ambao zamani ulitambulika kama Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi (ZFDB) ni Taasisi iliyopo chini ya Wizara ya Afya Zanzibar yenye jukumu la kudhibiti ubora na usalama wa chakula, dawa, vipodozi, vifaa tiba na vitendaZFDA tunahakikisha Wazanzibari wanatumia bidhaa na huduma zenye ubora na usalama
Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi (ZFDA) ambao zamani ulitambulika kama Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi (ZFDB) ni Taasisi iliyopo chini ya Wizara ya Afya Zanzibar yenye jukumu la kudhibiti ubora na usalama wa chakula, dawa, vipodozi, vifaa tiba na vitendanishi. Read more