newsare.net
Mjerumani ambaye ni meneja wa msanii Harmonize amesema kauli ya Rais Magufuli kutamani msanii huyo akagombee Ubunge Tandahimba imempa heshima msanii huyo na inaonyesha ni jinsi gani ana uwezo wa kufanya vitu vingi nje ya muziki.Mjerumani: Kauli ya Rais Magufuli imempa heshima Harmonize
Mjerumani ambaye ni meneja wa msanii Harmonize amesema kauli ya Rais Magufuli kutamani msanii huyo akagombee Ubunge Tandahimba imempa heshima msanii huyo na inaonyesha ni jinsi gani ana uwezo wa kufanya vitu vingi nje ya muziki. Read more