newsare.net
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania, Ney wa Mitego na Roma Mkatoliki wameibua shangwe katika mkutano wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) baada ya wenzao kuwasilisha salamu zao, kueleza sababu za kutofika.VIDEO: Salamu za Ney wa Mitego, Roma Mkatoliki zatikisa mkutano Bavicha
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania, Ney wa Mitego na Roma Mkatoliki wameibua shangwe katika mkutano wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) baada ya wenzao kuwasilisha salamu zao, kueleza sababu za kutofika. Read more