newsare.net
Vyama vya Chadema na ACT- Wazalendo vimesema havitambui matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020, ikiwa ni pamoja ushindi wa wagombea wao katika ngazi ya ubunge, udiwani na uwakilishi.Mbowe ataja sababu kukataa matokeo ya uchaguzi mkuu
Vyama vya Chadema na ACT- Wazalendo vimesema havitambui matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020, ikiwa ni pamoja ushindi wa wagombea wao katika ngazi ya ubunge, udiwani na uwakilishi. Read more











