newsare.net
“Mimi Tulia Ackson naapa kwamba nitaitumikia vema na kwa moyo thabiti Jamhuri ya muungano wa Tanzania katika kazi zangu kama naibu spika wa Bunge na katika kutimiza wajibu wa cheo hicho, nitawatendea haki watu wote mwenyezi Mungu nisaidie.”Dk Tulia: Nitawatendea haki watu wote
“Mimi Tulia Ackson naapa kwamba nitaitumikia vema na kwa moyo thabiti Jamhuri ya muungano wa Tanzania katika kazi zangu kama naibu spika wa Bunge na katika kutimiza wajibu wa cheo hicho, nitawatendea haki watu wote mwenyezi Mungu nisaidie.” Read more