newsare.net
Watu 29 wamehukumiwa na mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwenda jela mwaka mmoja baada ya kukiri kosa la kutoka ndani ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwenda nchini Afrika Kusini bila ya kuwa na kibali.Waliozamia Afrika Kusini wahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela
Watu 29 wamehukumiwa na mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwenda jela mwaka mmoja baada ya kukiri kosa la kutoka ndani ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwenda nchini Afrika Kusini bila ya kuwa na kibali. Read more