newsare.net
Mkazi wa jijini Dar es Salaam, Godfrey Haule amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kujifanya katibu wa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola.Aliyejifanya katibu wa Kangi Lugola afikishwa mahakamani
Mkazi wa jijini Dar es Salaam, Godfrey Haule amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kujifanya katibu wa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola. Read more